Matangazo ya usharika tarehe 14 Juni 2026

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI  

MATANGAZO YA USHARIKA TAREHE 14 JUNI, 2026 

SIKU YA BWANA YA 2 BAADA YA UTATU

NENO LINALOTUONGOZA NI:

“YESU NI MLANGO WA KUINGIA MBINGUNI”

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna Mgeni aliyetufikia na cheti: 

3. Matoleo ya Tarehe 07/06/2026

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Matangazo ya usharika tarehe 7 Juni 2026

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI

MATANGAZO YA USHARIKA TAREHE 07 JUNI, 2026

SIKU YA BWANA YA 1 BAADA YA UTATU

NENO LINALOTUONGOZA NI:

“KUMTEGEMEA MUNGU NI MAANDALIZI YA MAISHA YAJAYO”

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.

2. Wageni: Hakuna Mgeni aliyetufikia na cheti.

3. Matoleo ya Tarehe 31/05/2026

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

VIDEO: Maendeleo ya Mradi wa Kituo cha Kiroho cha Kiharaka

Tazama video fupi inayoonyesha maendeleo ya mradi wa Kituo cha Kiroho cha Kiharaka; picha ya ukumbi (ambao kwa kiasi kikubwa umekamilika) pamoja na baadhi ya nyumba za wageni ambazo ziko katika hatua mbalimbali za ujenzi.

Maendeleo haya ni ya hadi kufikia wiki ya kwanza ya mwezi Juni 2026.

Bonyeza kiunganishi kifuacho kuona video inayoonyesha maendeleo ya mradi