Matangazo ya usharika tarehe 31 Mei 2026

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI

MATANGAZO YA USHARIKA TAREHE 31 MEI, 2026

SIKU YA UTATU MTAKATIFU MUNGU MMOJA: BABA, MWANA NA ROHO MTAKATIFU

NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI:

“NDUGU WAKAE KWA PAMOJA KWA UMOJA”

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.

2. Wageni: Hakuna Mgeni aliyetufikia na cheti:

3. Matoleo ya Tarehe 24/05/2026

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO: