Matangazo ya usharika tarehe 12 April 2026

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI

MATANGAZO YA USHARIKA TAREHE 05 APRILI, 2026

SIKU YA BWANA YA 1 BAADA YA PASAKA

 NENO LINALOTUONGOZA NI:

“YESU KRISTO AJIDHIHIRISHA KWA WANAFUNZI WAKE”

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.

3. Matoleo ya Tarehe 5/04/2026

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Matangazo ya usharika tarehe 5 April 2026

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI

MATANGAZO YA USHARIKA

 TAREHE 05 APRILI, 2026

SIKU YA KUKUMBUKA KUFUFUKA KWA YESU KRISTO (PASAKA)

 NENO LINALOTUONGOZA NI:

“UFUFUKO WA YESU NI LIMBUKO LA WALIO HAI”

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.

3. Matoleo ya Tarehe 29/03/2026

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO: