Matangazo ya usharika tarehe 12 April 2026
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA TAREHE 05 APRILI, 2026
SIKU YA BWANA YA 1 BAADA YA PASAKA
NENO LINALOTUONGOZA NI:
“YESU KRISTO AJIDHIHIRISHA KWA WANAFUNZI WAKE”
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 5/04/2026
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
Yohana 20:3-31 - 13-04-2026
1 Wakorintho 15:35-49 - 10-04-2026
Matendo ya Mitume 13:32-37 - 09-04-2026
1 Wakorintho 15:1-11 - 08-04-2026
Matangazo ya usharika tarehe 5 April 2026
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 05 APRILI, 2026
SIKU YA KUKUMBUKA KUFUFUKA KWA YESU KRISTO (PASAKA)
NENO LINALOTUONGOZA NI:
“UFUFUKO WA YESU NI LIMBUKO LA WALIO HAI”
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 29/03/2026
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
-
-
-
- ‹ previous
- 2 of 2
